Breaking News
Loading...
Saturday, May 31, 2014

BUSINESSTOK: GEORGE TYSON ALIKUWA NI DIRECTOR WA TV SHOW HII MPYA NA TEAM NZIMA IMESIKITISHWA SANA KWA KIFO CHAKE.

BUSINESSTOK: GEORGE TYSON ALIKUWA NI DIRECTOR WA TV SHOW HII MPYA NA CREW NZIMA IMESIKITISHWA SANA NA KIFO CHAKE.




George akiandaa TV Show Mpya ambayo Mgeni wake alikuwa ni Mtangazaji wa kimataifa Mr.Shaka Sali  Hots wa StraightTalk AFrica huko Marekani. Kipindi hiki bado hakijarushwa hewani. 

                            Shaka Sali akihojiwa na Host wa BusinessTOK: Rosemary Mwakitwange






Ni wazi kwamba George Tyson alikuwa na makubwa sana na kuleta katika ulimwengu wa vipindi na Tasnia nchini. Watanzania tulikupenda na Mungu alikupenda zaidi. Tunakutakia mapumziko mema na Mungu akulaze mahala pema peponi. #RIPGeorgeTyson



Back To Top
Don't You Think this Awesome Post should be shared ??
| BUSINESSTOK: GEORGE TYSON ALIKUWA NI DIRECTOR WA TV SHOW HII MPYA NA TEAM NZIMA IMESIKITISHWA SANA KWA KIFO CHAKE. |